Nenda kwa yaliyomo

Lugha za Kihindi-Kiajemi

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Lugha za Kihindi-Kiulaya; buluu: maeneo ya lugha za Kihindi-Kiajemi

Lugha za Kihindi-Kiajemi ni kundi kubwa zaidi katika familia ya lugha za Kihindi-Kiulaya. Zinajumuisha lugha za Kihindi-Kiarya na lugha za Kiajemi (Irani). Zinazungumzwa zaidi kwenye Bara Hindi na Nyanda za Juu za Iran. Hapo zamani zilitumiwa pia katika Asia ya Kati, mashariki mwa Bahari ya Kaspi .

Lugha za Kihindi-Kiarya

[hariri | hariri chanzo]

Kuna karibu lugha 221 za Kihindi-Kiarya (Indic), zenye jumla ya wasemaji zaidi ya milioni 800.

Lugha za Kiajemi (Kiirani)

[hariri | hariri chanzo]

Kuna karibu lugha 86 za Kiajemi, zenye wasemaji kati ya milioni 150 hadi 200.

Kinuristani, Kibangani, na Kibadeshi

[hariri | hariri chanzo]

Wasomi wengine huchukulia lugha za Kinuristani na Kibangani kama sehemu ya kikundi kidogo cha Kihindi-Kiarya, lakini wengine wanazichukulia kama vikundi viwili tofauti vya Kihindi-Kiajemi. Lugha ya Kibadeshi pia ni lugha ya Kihindi-Kiajemi isiyopangwa bado kimakundi.

    • Cardona, George. Indo-Iranian languages. Iliwekwa mnamo 27 Agosti 2018. {{cite encyclopedia}}: |work= ignored (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
    • Indo-Iranian. Iliwekwa mnamo 27 Agosti 2018. {{cite book}}: |work= ignored (help)CS1 maint: date auto-translated (link)
pFad - Phonifier reborn

Pfad - The Proxy pFad of © 2024 Garber Painting. All rights reserved.

Note: This service is not intended for secure transactions such as banking, social media, email, or purchasing. Use at your own risk. We assume no liability whatsoever for broken pages.


Alternative Proxies:

Alternative Proxy

pFad Proxy

pFad v3 Proxy

pFad v4 Proxy